UZINDUZI WA MIKUTANO YA CHATO
Mikutano ya CHATO NET EVENT ilifunguliwa rasmi na Dkt. Zainab Chaula ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya.
Mikutano ya CHATO NET EVENT ilifunguliwa rasmi na Dkt. Zainab Chaula ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya.
Mpendwa msikilizaji wa Morning Star Radio na mtazamaji wa Hope Channel Tanzania, karibu kwenye juma lingine la ushirikishwaji kwa vijana (Total Youth Involvement). Juma hili litahitimishhwa jumamosi ya tarehe 30, Machi 2019.
Waweza kutushirikisha kinachojiri kanisani kwako katika ukurasa wetu wa facebook unaoitwa Morning Star Radio kwa kutumia hashtag #TYI19.
Shukrani kwa wote walioshiriki kutoa damu katika siku ya matendo ya huruma (GYD 2019), iliyoongozwa na vijana na kufanyika tarehe 16/03/2019. Mungu awabariki
Mpendwa mtazmaji wa Hope Channel Tanzania na msikilizaji wa Morning Star Radio katika juma hili tutabarikiwa na matendo ya huruma, yakiongozwa na VIJANA kutoka maeneo mbalimbali duniani ambalo kilele chake ni jumamosi ya Machi 16, 2019.
Unaweza sasa kufuatilia matangazo ya Hope Channel Tanzania na Morning star radio kupitia simu yako ya mkononi.
Fungua playStore au appStore kisha download TAMC app sasa ufurahie na ubarikiwe .