USIKOSE MIKUTANO YA GAiN TANZANIA
Usikose mikutano makini ya Gain Tanzania 2021 itakayofanyika katika ukumbi wa MORENA Hotel mji wa morogoro kuanzia tarehe 26 April hadi 01 May 2021
Ni Sehemu ya wewe kuonyesha ubunifu wako katika nyanja ya kitehama katika namna ya kupeleka utume mbele.
Utajifunza pia mbinu mbalimbali za kiteknolojia ambazo wengine hutumia kumwinua Kristo
Ni sehemu sahihi ya kujua mikakati mbalimbali ya idara ya mawasiliano ya kanisa la waadventista Tanzania inayotumia kuhakikisha injili inasonga mbele
KIINGILIO 50000
Wahusika
>Wakuu wa taasisi
>Makatibu Mhutasi wa ofisi za Konferensi na taasisi za kanisa
>Wachungaji wote wa mitaa
>Waratibu wa ACMS
>Makarani wa Kanisa
>Viongozi wa mawasiliano wa makanisa
>Wataalamu wa IT
>Waandishi wa habari
>Maofisa Mahusiano na wadau wengine wote wa mawasiliano